Nenda kwa yaliyomo

Kipindi cha Noeli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 5 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q867780 (translate me)
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 4 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q867780 (translate me)
Mstari 24: Mstari 24:
[[Jamii:Liturujia]]
[[Jamii:Liturujia]]
[[Jamii:Mwaka wa Kanisa]]
[[Jamii:Mwaka wa Kanisa]]

[[ar:زمن الميلاد]]
[[ml:ക്രിസ്തുമസ് കാലം]]
[[pt:Quadra Natalícia]]
[[ta:கிறிஸ்து பிறப்புக் காலம்]]

Pitio la 13:37, 11 Machi 2013

Mwaka wa Kanisa kadiri ya kalenda ya liturujia ya Roma kama kielelezo cha kawaida kwa Wakristo wa magharibi.
Mwaka wa liturujia
Magharibi
Mashariki

Kipindi cha Noeli au Krismasi ni majira ya mwaka wa Kanisa ambapo kadiri ya kalenda ya liturujia ya madhehebu mengi ya Ukristo linaendelea kuadhimishwa fumbo la Krismasi, yaani mwana wa Mungu kuzaliwa kama mtu duniani.

Kipindi cha Noeli katika liturujia ya Roma

Katika kipindi kifupi cha Noeli tunaadhimisha miaka yote ya maisha yaliyofichika ya Yesu Kristo hadi ubatizo wake, alipokabili utume wake mgumu.

Kwanza kwenye sherehe yenyewe tunaadhimisha kuzaliwa kwake katika unyonge wa ubinadamu wetu na katika ufukara wa pango.

Sherehe hiyo inachukua siku nane (Oktava) zinazohesabiwa kuwa moja.

Katikati inaadhimishwa Familia takatifu kama mazingira ya kufaa kwa kumpokea huyo Mwana na kama kielelezo kwa familia zote za binadamu.

Siku ya nane ni pia mwanzo wa mwaka mpya ambao tunaomba uwe na amani. Ndiyo siku ya Yesu kutahiriwa na kupewa jina hilo linaloeleza maana ya yeye kujifanya mtu (ישוח = Mungu anaokoa). Lakini hasa tunamshangilia Bikira Maria mzazi wa Mungu, sifa yake bora iliyompatia fadhili nyingine zote.

Inafuata sherehe ya Epifania (Tokeo la Bwana) ambapo mwanga wa Kristo uliwafikia watu wa mataifa (mamajusi).

Siku ya mwisho unaadhimishwa Ubatizo wa Bwana.

Viungo vya nje