Nenda kwa yaliyomo

Femtomita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Femtomita (ing. femtometer, alama fm[1][2][3]) ni kipimo cha SI cha kutaja urefo mdogo wa 10−15 mita.

Kipimo hiki hutumiwa kwa kutaja vipimo katika fizikia ya atomi na chembe zake.

Kipenyo cha protoni ni takiban femtomita 1.7 [4]. Kipenyo cha kiini cha atomi cha dhahabu ni takriban femtomita 8.45.

Neno latokana na lugha ya (Kidenmark: femten (kumi na tano). Umbali huu unaweza pia kuitwa fermi kwa heshima ya mwanafizikia Enrico Fermi.

Ulinganifu

femtomita 1 = 1.0 x 10−15 mita = 1 fermi = 0.001 pikomita = 1000 attomita

1,000,000 femtomita = 1 nanomita = 10 Ångström.

Marejeo

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-05-23. Iliwekwa mnamo 2014-07-08.
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-07-09. Iliwekwa mnamo 2014-07-08.
  3. "Nakala iliyohifadhiwa" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2012-04-25. Iliwekwa mnamo 2014-07-08.
  4. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-04-23. Iliwekwa mnamo 2014-07-08.