Novice Quotes

Quotes tagged as "novice" Showing 1-12 of 12
Pooja Agnihotri
“Establishing a business without any experience and industry knowledge is like playing basketball as a novice with Michael Jordan.”
Pooja Agnihotri, 17 Reasons Why Businesses Fail :Unscrew Yourself From Business Failure

Israelmore Ayivor
“The question is not "can you wear your father's shoes?". The question is "can you walk in your father's shoes?". It is one thing having a mentor and it is another thing to become like your mentor.”
Israelmore Ayivor

Santiago Ramón y Cajal
“Our novice runs the risk of failure without additional traits: a strong inclination toward originality, a taste for research, and a desire to experience the incomparable gratification associated with the act of discovery itself.”
Santiago Ramón y Cajal, Advice for a Young Investigator

Israelmore Ayivor
“A mentor is a person, an expert in a specific area of endeavour who trains, guides and observes a less experienced person to also become an expert through support, advice, and involvement in character building opportunities.”
Israelmore Ayivor, Michelangelo | Beethoven | Shakespeare: 15 Things Common to Great Achievers

Kara Timmins
“If you don't feel foolish the first time you try something new, you probably aren't doing it right.”
Kara Timmins, Eloy's Discovery

Soke Behzad Ahmadi
“. . as A martial arts teacher, we should never forget the first time we stepped onto the Dojo ground, remembering this, we will be better equipped to teach the next generation of Karate practitioners”
Soke Behzad Ahmadi, Shorinjiryu Ryujin Kenpo

Aniruddha Sastikar
“It is the 'Teacher', that shapes a novice; not only with his studies, but character too.”
Aniruddha Sastikar

Sarvesh Jain
“The worst way to demoralise yourself is to compare your first day with someone experienced.”
Sarvesh Jain

“A mute mentor & blind novice
I grabbed your hand; made me wise..."

-Shahzaib”
Shahzaib Ansari

Agona Apell
“The experience of the expert is an advantage to them only for as long as it enables them to learn faster than the novice”
Agona Apell, The Success Genome Unravelled: Turning men from rot to rock

Enock Maregesi
“Wachawi hivi ndivyo wanavyoapishwa na kuikana imani ya Kikristo: Mwanafunzi hupelekwa kilingeni katika siku maalumu kuonana na Shetani, pamoja na jopo la wachawi. Shetani hutokea katika mwili wa hewa, mwili uliochanganyikana na hewa na mvuke mzito, wa mwanamume na kuwasihi waishikilie imani yao kwake kwa mioyo yao yote, huku akiwaahidi utajiri na maisha marefu kama hawatamkana. Kisha wachawi wanampendekeza mwanafunzi kwa Shetani. Shetani humuuliza mwanafunzi kama yuko tayari kuikana imani yake, kuachana na Ukristo na kutokumwabudu Mwanamke Aliyebarikiwa Kuliko Wanawake Wote Duniani Maria Magdalena, na kutoziheshimu sakaramenti za aina zote. Mwanafunzi atakapokubaliana na masharti hayo, Shetani atanyoosha mkono wake na kumsihi mwanafunzi anyooshe wa kwake. Kwa mkono wake mwenyewe, mwanafunzi ataapa na kuweka agano na Shetani mbele ya jopo la wachawi.

Baada ya hapo bila kuchelewa Shetani ataendelea na kusema kuwa hicho kiapo hakitoshi. Lakini mwanafunzi atakapouliza afanye kitu gani cha ziada, Shetani atahitaji kiapo kifuatacho kwa heshima yake na kwa heshima ya mashetani wote: Mwanafunzi ajikabidhi kwa Shetani kwa mwili na kwa roho yake yote daima dawamu, na afanye kila awezalo kuleta wanafunzi wengine wa kike na wa kiume katika ufalme wake. Kama hiyo haitoshi Shetani ataongeza kuwa lazima mwanafunzi atengeneze mafuta fulani kutokana na mifupa na viungo vya miili ya watoto, hasa watoto waliobatizwa, kwani kwa kufanya hivyo atamtimizia kila kitu atakachokitaka hapa duniani. Hiyo ni njia mojawapo ya kiapo.

Njia nyingine ya kiapo ni kwa wale ambao hawajiamini au wana hofu ya kuonana na Shetani uso kwa uso kilingeni, akiwa na mwili wa kimazingaombwe na sauti ya kutisha kwani Shetani hana mapafu wala hana ulimi. Badala ya kilingeni mwanafunzi hupelekwa kanisani na jopo la wachawi ambapo mbele ya jopo atalazimishwa kuikana imani yake, kumkana Yesu Kristo, kuukana ubatizo na kulikana kanisa zima kwa ujumla wake. Mwanafunzi baada ya hapo atalazimishwa kutoa heshima kuu kwa Mfalme Mdogo, kwani hivyo ndivyo wanavyomwita Shetani ili kumwondolea mwanafunzi hofu, kisha atalazimishwa kunywa supu ya mtoto mchanga waliyemuua akazikwa kisha wakamfukua na kupika viungo vya mwili wake; na dakika hiyo mwanafunzi atapata maarifa, maarifa ya kichawi, kama walimu wake na watarudi nyumbani.”
Enock Maregesi

“When opposed to the weight of accomplishment, the lightness of being a novice is invaluable.”
Emmanuel Apetsi