The doctor advised the patient and ordered several medical tests and procedures. These included cleaning the patient's abdomen before surgery, applying a bandage to a cut, a barium enema, blood transfusion, and bone marrow aspirate. The physician also suggested avoiding bodily fluids and cold environments to prevent disease transmission and exacerbation of conditions like asthma.
The doctor advised the patient and ordered several medical tests and procedures. These included cleaning the patient's abdomen before surgery, applying a bandage to a cut, a barium enema, blood transfusion, and bone marrow aspirate. The physician also suggested avoiding bodily fluids and cold environments to prevent disease transmission and exacerbation of conditions like asthma.
The doctor advised the patient and ordered several medical tests and procedures. These included cleaning the patient's abdomen before surgery, applying a bandage to a cut, a barium enema, blood transfusion, and bone marrow aspirate. The physician also suggested avoiding bodily fluids and cold environments to prevent disease transmission and exacerbation of conditions like asthma.
The doctor advised the patient and ordered several medical tests and procedures. These included cleaning the patient's abdomen before surgery, applying a bandage to a cut, a barium enema, blood transfusion, and bone marrow aspirate. The physician also suggested avoiding bodily fluids and cold environments to prevent disease transmission and exacerbation of conditions like asthma.
The surgeon has ordered the nurse to Daktari mpasuaji ameagiza
clean the patient's abdomen before the muuguzi kusafisha tumbo ya Abdomen Tumbo surgery. mgonjwa kabla ya upasuaji. Mgonjwa ambaye daktari alilaza The patient whom the doctor admitted hospitalini aliumia kwenye njia Airway Njia ya kupitisha hewa. had an injured airway. ya kupitisha hewa. The patient who was diagnosed with Mgonjwa aliyepatikana na AIDS (Acquired Immune Ukimwi. Ukosefu wa AIDS has been given instructions on ukimwi alipewa maagizo kuhusu Deficiency Syndrome). kinga mwilini. her nutrition. lishe. Daktari alimwagiza mgonjwa Upungufu wa damu The doctor instructed the patient who ambaye ana upungufu wa damu Anemia mwilini has anemia to eat healthy foods. kula lishe bora. The anesthesiologist made sure that Mtaalamu wa unusukaputi Hali ya kutokuwa na hisia the patient's nerves were not active aliakikisha kuwa mgonjwa hana Anesthesia (nusu kaputi) before the surgery. hisia kabla ya upasuaji. Daktari alimshauri mgonjwa The doctor advised the patient with ambaye ana ugonjwa wa baridi arthritis not to walk for long periods in yabisi asitembee kwa mda mrefu Arthritis Ugonjwa wa baridi yabisi. order to reduce the pain in her legs. ili kupuguza maumivu ya miguu. Mgonjwa ambaye alibainika The patient who was diagnosed with kuwa na ugonjwa wa pumu asthma had difficulty in breathing and alikuwa na shida ya kupumua na the doctor advised him to avoid cold daktari akamuagiza aepuke hali Asthma Pumu environments. ya hewa baridi. Daktari alibaini kwamba ugonjwa The doctor established that the patient's aliokuwa nao mgonjwa Bacteria Bakteria disease was caused by bacteria. ulisababishwa na bakteria. Daktari alimuagiza muuguzi The doctor ordered the nurse to apply a amfunge mgonjwa aliyekuwa na bandage to the deep cut on the jeraha kubwa kwenye mkono Bandage Bendeji patient's hand. wake bendeji. The doctor suggested that a band-aid Daktari amependekeza kitambaa be applied on the painful hand before kifungwe kwa mkono unaouma Band-Aid kitambaa an X-ray was done. kabla ya eksirei kufanywa. Daktari aliagiza kuigizwa kwa Kuingiza kemikali kwenye The doctor ordered a barium enema for kemikali kwenye utumbo wa utumbo kabla haujapigwa the patient before the X-ray was done mgonjwa kabla ya kufanyiwa Barium enema eksirei. on her abdomen. eksirei kwenye tumbo. Daktari alimweleza mgonjwa ambaye alikuwa na shida ya The doctor told the patient who had mmeng'enyo wa chakula kuwa digestion problems that her bile duct mshipa wa nyongo yake ulikuwa Bile Nyongo had a problem. na shida. Daktari alimshauri mgonjwa The doctor advised the patient to get kupokea cheti cha kuzaliwa the birth certificate from government kutoka kwa wahudumu wa Birth certificate Cheti cha kuzaliwa agencies. serikali Daktari aliwashauri wamama The doctor advised lactating mothers wenye kunyonyesha kuhusu njia Birth control Udhibiti wa uzazi. on birth control methods. za udhibiti wa uzazi. Lengelenge (uvimbe ulio The patient has sustained a severe Mgonjwa amepatwa na na maji unaotokea juu ya blister after being burned with hot lengelenge baada ya kuchomwa Blister ngozi ). water. na maji moto. The doctor ordered a blood transfusion Daktari aliagiza mgonjwa for the patient who had lost a lot of aliyepoteza damu kwenye ajali Blood Damu blood in the accident. aongezwe damu. Kiwango cha chembe nyeupe za The white cell count has confirmed that damu kimedhihirisha kuwa the patient is suffering from a severe mgonjwa anaugua ugonjwa wa Blood count/blood cell count chembe ya damu. bacterial infection. bakteria mingi mwilini. The doctor advised the patient who had Daktari alimshauri mgonjwa blood discharge to undergo a cancer aliyetokwa na damu apimwe Blood discharge kutokwa na damu. test. dhidi ya ugonjwa wa saratani. Kwa sababu mgonjwa ameenda Because the patient has had bowel haja kubwa, mtaalam wa shida kunyamba; pitisha haja movements, the gastroenterologist za tumbo amependekeza BM (Bowel movement) kubwa. suggested he be discharged. anaweza futiwa. Daktari alimshauri mgonjwa The physician advised the patient not to kuwa asishike uowevu wa mwili come into contact with bodily fluids from kutoka kwa mtu mwingine ili another person in order to avoid kuzuia kuenezwa kwa Bodily fluids uowevu wa mwili. disease transmission. magonjwa. Mtaalam wa mifupa ameamuru The orthopedist has ordered an X-ray eksirei ifanywe kwenye mguu wa on the patient's leg to rule out a mgonjwa ili kubaini iwapo mfupa Bone Mfupa. fracture. wake umevunjika. Kwa sababu daktari ameona Because the physician has confirmed damu yako kuwa chini mda chembe ya mfupa: Punje that your blood level has been low for a mrefu amependekeza punje ndogondogo zilizo ndani long time, he has suggested a bone ndogondogo zilizo ndani ya Bone marrow ya mfupa. marrow aspirate be done. mfupa zipimwe. The doctor has ordered brain surgery Daktari ameamuru upasuaji wa Brain Ubongo. on the patient. ubongo ufanyiwe mgonjwa. The oncologist told the patient that the Daktari alimwambia mgonjwa test needed to be done on her breast to kwamba atapimwa kwenye titi Breast Titi, Ziwa. see whether she has breast cancer. kubaini kuwa ana saratani ya titi. Mtaalam wa kutibu mifupa The orthopedic surgeon has instructed amemwagiza mgonjwa kulala Mfupa wa kidari (mfupa the patient to always lie on her back Kwa mgongo kwa maana ana Breastbone wa matiti) due to the pain in her breastbone. maumivu ya mfupa wa kidari. Mama aliyekuwa na mimba ya uzazi wa kutanguliza The mother who had breech uzazi kutanguliza matako matako (makalio,sehemu presentation pregnancy underwent a alifanyiwa upasuaji wa kumzaa Breech baby ya nyuma ya mwili). successful operation. mtoto kikamilifu. Daktari alimshauri mgonjwa The doctor advised the patient suffering aliyeugua mkamba aache kufuta Bronchitis Mkamba. from bronchitis not to smoke. sigara. Because the patient has severe burn Kwa sababu mgonjwa wounds, he will be admitted to the anavidonda vibaya vya Burn choma, mchomo hospital. kuchomeka, atalazwa hospitalini. Daktari alimshauri mgonjwa The doctor advised the patient who had aliyekuwa na maumivu kwenye Matako; makalio, sehemu sores on his buttocks not to sit on hard matako asikae mahali pana Buttocks ya nyuma ya mwili. surfaces. ugumu. Mtaalam wa saratani alibaini After the test, the oncologist established kuwa mgonjwa aliugua saratani Cancer kansa (saratani) that the patient had lung cancer. ya mapafu baada ya kupimwa. The physician advised the patient to eat Daktari alimshauri mgonjwa ale Kabohaidreti (vyakula vya foods rich in carbohydrates so that he vyakula vya wanga ili awe na Carbohydrate wanga) may be strong. nguvu. The athlete who was brought to the Mkimbiaji aliyeletwa hospitalini hospital after fainting had baada ya kuzirai alifanyiwa cardiopulmonary resuscitation and was jaribio la kufufua moyo na Cardiopulmonary Jaribio la kufufua moyo observed before being discharged from mapafu kIsha akaangaliwa kabla resuscitation na mapafu. the hospital. ya kutoka hospitalini. Baada ya mgonjwa kupasuka mfupa wa sehemu unganishi ya mkono, alipatwa na shida ya Ugonjwa wa kufa ganzi After a wrist fracture, the patient kufa ganzi neva ya kati ya Carpal tunnel syndrome neva ya kati ya mkono. complained of carpal tunnel syndrome. mkono. Wakati picha ya eksirei ilifanywa, When the X-ray was performed, the Mtaalam wa eksirei alibaini kuwa radiologist concluded that the patient's mgonjwa alikuwa amepasuka Cartilage gegedu/tishu. knee had torn cartilage. gegedu la goti. Wataalam wa mifupa hutumia Orthopedic specialists use plaster casts ganda la plasta kufungia kwenye to apply to broken bones in the hands mifupa ya mikono na miguu Cast Ganda la plasta and legs. iliyovunjika. Baada ya picha changanufu ya picha changanufu (ya After a CAT Scan was done, the mwili kufanywa, ubainifu wa CAT Scan kuchunguza) ya mwili. patient's final diagnosis was attained. mwisho wa ugonjwa uliafikiwa. Daktari aliagiza muuguzi kutayarisha katheta ili Katheta (neli ya kuingiza The doctor ordered the nurse to kumhudumia mgonjwa uowevu katika mishipa prepare the catheter so as to attend to aliyekuwa na shida ya uti wa Catheter mwilini). the spinal patient. mgongo. The midwife gave the mother who was Mkunga alimpa dawa mama in labor some medicine to assist in aliyekuwa na uchungu wa uzazi opening her cervix for the baby to pass ili kufungua mlango wake wa Cervix mlango wa kizazi. during childbirth. kizazi ili mtoto apite. Daktari alimshauri mgonjwa wa The doctor advised the cancer patient saratani afanyiwe tibakemikali ili to go for chemotherapy to reduce the kupunguza makali ya kansa Chemotherapy Tibakemikali. cancer effects on his body. kwenye mwili wake. Mgonjwa ambaye daktari alimlaza hospitalini alikuwa na The patient whom the doctor admitted kiwango cha juu cha joto kwa Tete kuwanga; ugonjwa to the hospital had a fever due to sababu ya ugonjwa wa Chicken pox wa ngozi. chickenpox. tetekuwanga. The expectant mother was advised by Mama mjamzito alishauriwa na the doctor not to do heavy work before daktari asifanye kazi zito kabla Childbirth Kuzaa/kujifungua. childbirth. ya wakati wake wa kujifungua. Daktari alimchunguza mgonjwa The doctor examined the patient whose aliyekuwa na uvimbe kwenye Chin Kidevu. chin was swollen. kidevu. Daktari alimpa maagizo ya The doctor prescribed medicine to the matumizi ya dawa mgonjwa patient who was diagnosed with chronic aliyekuwa na mafindifindo ya Chronic tonsillitis Mafindofindo ya kudumu. tonsillitis. kudumu. Kromosomu (nyuzinyuzi Kromosomu za wanaume ni XY, katika kiini cha seli zenye Male chromosomes are XY, and female na Kromosomu za wanawake ni Chromosomes jeni). chromosomes are XX. XX. Daktari aliagiza upasuaji mdogo kaakaa mlililopasuka (paa The doctor ordered minor surgery on ufanyiwe mgonjwa aliyekuwa na Cleft palate la kinywa lililopasuka) the patient who had a cleft palate. kaakaa lililopasuka. Daktari alimuagiza muuguzi The doctor ordered the nurse to apply kutia dawa kwenye kidonda cha some medicine to the patient's cut so mgonjwa ili kusaidia mgonjwa Clot Donge la damu. as to help stop bleeding. asipoteze damu. The physician advised the nurse to Daktari alimwagiza muuguzi isolate the patient in his own ward, kumtenga mgonjwa kwenye since he suffered a communicable wadi yake pekee kwani aliugua Communicable disease Maradhi ya kuambukiza. disease. maradhi ya kuambukiza. Daktari alimshauri mgonjwa Jeraha la bongo The doctor advised the patient to go for kufanyiwa eksirei ili kubaini linalotokana na an X-ray to know whether he had a iwapo alipatwa na jeraha la Concussion kupigwa/kugongwa. concussion after the accident. ubongo baada ya ajali. The cardiologist requested that the Mtaalam wa roho alimwagiza nurse keep the congestive heart failure muuguzi kukiweka kitanda cha patient's bed elevated near the head mgonjwa wa roho kufeli sababu Roho kufeli kwa sababu and chest region to reduce difficulty in ya kujawa damu kimeinuka kwa Congestive heart failure ya kujawa damu. breathing. semu ya kichwa na kifuani. Mgonjwa aliyekuwa na hali ya kufunga choo ametibiwa na Hali ya kufunga choo The patient who had constipation has dawa za kufanya choo kuwa Constipation (kutopata choo barabara). been treated with stool softener drugs. chepesi. Vipimo vya maabara vimedhihirisha ya kwamba Laboratory tests have confirmed that mgonjwa anaugua kutokana na kuambukiza; kuenea the patient is suffering from a highly virusi vya ugonjwa unaoenea Contagious upesi. contagious viral disease. upesi. The reason the patient could not see Sababu ya mgonjwa kutoona ni was because his bilateral cornea was kwa kuwa konea zake mbili Cornea Konea. inflamed. zilikuwa na uvimbe mchungu. Mgonjwa anayeugua ugonjwa wa mkamba aliulizwa kukooa The patient suffering from bronchitis kuondoa kooni koozi wakati wa was requested to cough up sputum uchunguzi wa kimatibabu wa Cough up Ondoa kooni kwa kukooa. during her routine medical examination. mara. Mgonjwa aliyetambuliwa na sababisha mkakamao The patient diagnosed of dysmenorrhea maumivu ya hedhi kwanza (uchungu kama mvuto) presented with severe abdominal alilalamikia mkakamao misuli wa Cramps misuli. cramps. tumbo. Baada ya plasta (kikandiko) After the plaster was applied, the kuwekwa, Mgonjwa aliyeugua patient suffering a fractured leg was kuvunjika mguu alitolewa discharged from the hospital on hospitalini kwa gongo la Crutches Gongo la kutembea. crutches. kutembea. The child who sustained a cut wound Mtoto aliyepata kidonda cha Cut kata has been stitched up. mkato ameshonwa Jinakologia ameonelea kwamba The gynecologist suggested that the mgonjwa anayeugua uvimbe patient suffering from an ovarian cyst uliojaa maji kwa ovari afanyiwe Cyst Uvimbe uliojaa maji. be operated on. upasuaji. Kapilari. Mishipa midogo Mgonjwa aliyekuwa na kapilari ya damu inayoenea The patient who had bleeding from the zenye kuvuja damu aliongezewa Capillary mwilini. capillaries was transfused. damu Mgonjwa aliyeletwa hospitalini The patient who was brought to the akiwa ameumia kiungo cha Kiungo cha kiganja na hospital with a fractured carpal has kiganja na mkono alifanyiwa Carpus mkono. been operated on. upasuaji. Mgonjwa aliyekuwa amepasuka kwenye gegendu la goti Gegendu, tishu. Aina ya ameruhusiwa kwenda nyumbani mfupa ambao huzunguka Tishu Muunganiko wa seli viungo vya mnyama pale The patient who had knee cartilage mbalimbali za aina moja zenye Cartilage kwenye viungio. damage has been discharged. kazi maalum mwilini. Mgonjwa aliyekuwa na maumivu makali ya tumbo alipatikana The patient who had severe abdominal kuwa na ugonjwa kwenye Colon Utumbo mpana. pain was found to have colon disease. utumbo mpana. Sababisho la kutoweza kusikia The patient's cause of deafness was kwa mgonjwa ni uvimbe persistent otitis media that affected the mchungu wa tundu la sikio Deafness Ziwi; sioweza kusikia. eardrum. uliokaa mda mrefu. Kutanua na kukwanguliwa A D&C was done on the gynecological kulifanyiwa mgonjwa wa D&C (Dilatation and Kutanua na kukwangulia patient who had an incomplete septic jinakologia aliyeugua kutoavya curettage) (kuchunia) abortion. mimba yote kulikooza. Mtoto aliyeishiwa maji aliogezwa The dehydrated baby was only maji tu kupitia kwa mishipa na kuishiwa maji/kukausha rehydrated on intravenous fluids and kufutiwa kwa madawa kwenda Dehydration maji. discharged to go home on medicines. nyumbani. Ni shauri kwa kila mgonjwa anayeugua ugonjwa wa kisukari kupimwa kiwango cha sukari It is advisable for every diabetes patient kwenye damu cha asubuhi kabla to monitor fasting blood sugars often in ya kula mara kwa mara hili Diabetes Kisukari order to prevent complications. kuepuka utatanishi. Mgonjwa aliyeugua nasuri ya The patient who had vesicovaginal kibofu na uke nadra angeweza Diaper nepi fistula could hardly be without diapers. kuishi bila nepi. Ugonjwa wa kupooza ni ugonjwa Polio is an immunizable disease that wenye chanjo unaoweza Disability Ulemavu can cause permanent disability. sababisha ulemavu wa kudumu Mgonjwa aliyelalamikia mtoto kuwa wake kwa kesi ya The patient who claimed that the baby kihospitali ya uzazi aliamrishwa was hers in a maternity case was kufanyiwa uridhi muhimu wa ordered to do a DNA test to prove the kimwili hili kubaini ukweli wa DNA (Deoxyribonucleic Acid) muhimu wa kimwili. truth of the matter. mambo. Kupiga bomba ya kusafisha kwa uke kunaweza sababisha Ladies' frequent vaginal douching can uvimbe mchungu wa uke wa Douche Piga bomba ya kusafisha. lead to recurrent vaginitis. mara. Baada ya mama kuona kuchelewa kukua kimaumbile kwa mtoto wake, alimpeleka kwa daktari wa watoto ambaye Ugonjwa wa kuwepo After the mother noted physical growth alisema kwamba alikuwa na kromosomu ya tatu kwa delays in her child, she took him to a tabia za kuwepo kromosomu ya kromosomu ya ishirini na pediatrician, who said the baby had tatu kwa kromosomu ya ishirini Down Syndrome moja. characteristics of Down Syndrome. na moja. The patient who had a painful purulent Mgonjwa aliyekuwa na uvimbe ukausaji; unyonyaji; abscess had an incision and drainage uliojawa usaha alifanyiwa mkato Drainage ufifishaji. performed today. na ukaushaji leo. Baada ya kuweka kifaa kinachoingia kwenye mshipa, After placing the intravenous infusion, daktari aliona damu ikitona the doctor could observe the blood (ikidondoka) kidogo kidogo Dripping tona; Dondoka. dripping slowly down. kwenye tyubu. Baada ya vipimo, mgonjwa alipatikana akiwa na After the laboratory test, the boy was maambukizo ya bakteria ya sikio diagnosed with an ear infection. That is ndio maana kuna usaha kwenye Ear infection Maambukizo ya sikio. why there was pus in his ear. sikio lake. Mgonjwa alipelekwa chumba The patient was taken to the cha dharura ili atolewe ujauzito emergency room for the removal of the uliokuwa nje ya mji wa mimba Ujauzito ulio nje ya mji wa ectopic pregnancy that endangered her yenye ilikuwa imehatarisha Ectopic pregnancy mimba. life. maisha yake. Taaluma (kitendo) ya kurekodi mwendo Daktari ali rikodi mwendo wa sehemu za mwili kama The doctor recorded the EKG of the moyo wa mgonjwa aliyepatikana ECG vile moyo. patient who had a heart attack. na mshituko wa moyo The patient, who had fractured enamel Mgonjwa aliyevunja gamba la from the accident, needs a tooth jino kutokana na ajali anahitatiji Enamel Gamba ya jino. extraction. kubadilishwa jino. Vipimo vilionyesha kuwa kijana aliyedumaa (hakukua vizuri) Kutoa aina za kemikali The laboratory tests showed the alikuwa na ukosefu wa kutoa katika mwili Kama vile stunted boy had an endocrine growth kemikali za mwili (homoni) za Endocrine gland homoni. hormone deficiency. kukua. Mtaalam wa ubongo alimpata mgonjwa aliyekuwa na maumivu ya kichwa na Kizunguzungu, na The patient, who had a headache and donge kwenye mshipa ulio juu Juu ya utando (kifuniko) dizziness, was diagnosed with an ya utando (kifuniko) wa nje wa Epidural wa nje wa ubongo. epidural hematoma by the neurologist. ubongo. Ugonjwa wa kifafa – Kupoteza fahamu kwa mda huku akipigapiga He was diagnosed with high-grade Alipatikana na kifafa cha mikono na miguu na epilepsy and was hospitalized for three kiwango cha juu na akalazwa Epilepsy kutoa pofu mdomoni. weeks. kwa muda wa wiki tatu. Mtaalam wa macho alimpata na The ophthalmologist diagnosed him maambukizo ya bakteria ya jicho with a bacterial eye infection and na akamwagiza dawa ya tone la prescribed him eye drops to be used jicho iwekwe mara mbili kwa Eye drop Tone la jicho twice daily. siku. Wakati wa ajali, mgonjwa During the accident, the patient was ameumiya kwenye kigubiko cha Eyelid Kigubiko cha jicho. injured on her eyelid. jicho lake. uti wa mgongo Spinal Kuvuja damu kwenye uti wa cord – Utando wa uti wa Epidural bleeding can lead to sudden mgongo kwaweza sababisha Epidural mgongo. death. kifo cha dharura. Wakati wa mimba /ujauzito unaokuwa Mama mjamzito aliharakishwa wakati sehemu ya kijusi kwa chumba cha kuzaa kwa (mimba changa) The pregnant woman was rushed into sababu kichwa cha kijusi (mimba ishashuka kwa the delivery room because there was changa) kilikuwa kishashuka Engagement fupanyonga ya mamake. engagement of the fetal head. kwenye fupanyonga ya mamake. The patient fainted due to exposure to Mgonjwa alizirai Kwa sababu ya Faint Ziraai (poteza fahamu). high temperatures. kujiachilia kwa joto nyingi Mshipa wa damaris Mshipa unaoshikanisha unaoshikanisha mbegu za mbegu za wazazi na mji wazazi na mji wa mimba Fallopian tube wa mimba. Damaris has a blocked fallopian tube. umefungana. Daktari wangu anagojea majibu kutoka kwenye mahabari ili My doctor is waiting for laboratory kujua ugonjwa wangu. Muuguzi feedback to diagnose my condition. The amejulisha daktari mtaalamu wa nurse informed the obstetrician that the kutibu wamama wajawazito ya patient is not having bowel movements, kwamba mgonjwa hawezi Majibu ya utekelezaji wa and the nurse is waiting for the kunyamba,na muuguzi anangoja Feedback mambo Fulani (maazimio) obstetrician's feedback. majibu ya utekelezaji ya daktari. Daktari mtaalamu wa uzazi The gynecologist reported that ninety aliripoti kwamba asilimia tisini ya Kijusi (Mimba ya miezi percent of fetuses develop into full-term mimba ya miezi mine(vijusi) Fetus mine). babies. hukua watoto waliofikisha mda. Muuguzi amelalamikia joto la A nurse complained of a fever after homa baada ya kuhudumia Fever Joto la homa. attending to an ebola patient. mgonjwa wa ebola. Wanawake ambao wako na uvimbe mwepesi wa musuli wa mji wa mimba hupoteza damu Uvimbe nyepesi wa Women who have uterine fibroids lose nyingi na huwa na upungufu wa Fibroids musuli. a lot of blood and develop anemia. damu. Daktari mtaalam wa mfumo wa mkojo amependekeza The urologist has recommended a matembezi ya kufuatilia kwa weekly follow-up visit for two old men wanaume wawili wazee walio na Follow-up visit Tembelea kufuatilia. with renal failure. dosari la figo. The wound, which resisted treatment, Kidonda kilichokataa matibabu necessitated amputation of his kililazimisha kukatwa kwa kidole Forefinger Kidole cha shahada. forefinger. chake cha shahada. Wahusika wawili wa ajali Two accident victims have fractures in barabarani wako na mvunjiko wa Fracture Mvunjiko. their legs. miguu yao. Kibofu nyongo – Mfuko wenye umbo la pia, Mgonjwa aliyemeza dawa iliyoko chini ya kulia ya The patient who had taken expired iliyokwisha fika mwisho wake ini, ambapo nyongo drugs later got cholecystitis baadaye alipatikana na uvimbe Gallbladder huifadhiwa. (inflammation of the gallbladder). wa kibofu nyongo. Madawa mengi ya jenasi huwa Generic Jenasi. Most generic drugs are inexpensive. bei rahisi. Daktari alimwambia mwanamke mjamzito kuwa alikuwavkatika The doctor told the pregnant woman wiki ya thelathini na saba ya Kipindi cha kuchukua she was 36 weeks into her gestation kipindi chake cha kuchukua Gestation mimba/Ujauzito. period. mimba. Kisonono – Ugonjwa wa Gonorrhea zinaa wa kuambukiza. He was diagnosed with gonorrhea. Alipatikana na kisonono. Kipandikizi/Kipande cha ngozi au mfupa cha mtu ama mnyama kilichotiwa mwilini mwa mtu Mgonjwa aliyekuwa na shida ya mwingine au katika The patient, who suffered from renal figo alipata kipandikizi cha figo sehemu nyingine ya mwili problems, got a kidney graft from a kutoka kwa mtu wa ukoo wa Graft uleule. close relative. karibu. Kinena (Eneo la mwili iliyojuu ya sehemu za siri He had swelling in the groin, which Alikuwa na tezi kwa kinena Groin kabla ya tumbu). turned out to be cancer. yenye ilibadili kuwa Saratani. Ufizi wa meno - Mtaalam wa meno aaling'oa ,sine(sehemu inayoota The dentist easily extracted his teeth meno yake kwa urahisi kwa meno kinywani mwa because his gums had a bacterial sababu alikuwa na maambukizo Gums mwanadamu). infection. ya bakteria ya ffizi zake. Matumbo/utumbo – Kiungo au sehemu ya Baada ya mpigo wa bunduki kwa ndani ya mwili ambayo tumbo, daktari alifanya hupokea chakula na kitendo/taaluma ya kufungua vinywaji na kuvisaga After the gunshot to the abdomen, the tumbo (upasuaji) ili baada ya kumeng’enywa doctor did a laparotomy on the patient kutengeneza/kurekebisha Gut kwenye mdomo. to repair the gut. matumbo. Hitilafu ya macho inayosababishwa na mwanga kutofika kwenye Mgonjwa aliyekuwa na mtoto wa retina (sehemu jicho alilamikia hitilafu ya macho inayopokea nuru ndani ya The patient who had a cataract inayosababishwa na mwangaza Glare jicho). complained of glare vision. kutofika retina. Ugonjwa wa kuzaliwa na mwanya kwa mdomo A harelip is a condition that is corrected hurekebisha kwa upasuaji Ugonjwa wa kuzaliwa wa by surgical fusion of the lips by a kuunganisha sehemu ya mdomo Harelip (cleft lip) mwanga kwa mdomo. surgeon. na daktari mpasuaji. The patient who was diagnosed with Mgonjwa aliyepimwa na kikohozi Kikohozi (Mafua Hay fever was instructed to avoid cold amaagizwa kuambukana na Hay fever yaletwayo na vumbi) weather. baridi Wauguzi hutupa vifaa vyenye Nurses dispose of hazardous hatari kwa katoni salama kuzuia equipment in safe cartons to prevent magonjwa yanayopatwa kwa Hazardous Yenye hatari. hospital-acquired infections. hospitalini. Mgonjwa aliomba kisaidizi cha kusikia kwa sababu hangeweza The patient requested a hearing aid kumsikia daktari kutokana na because she could not hear the doctor uvimbe unaootea kwenye Hearing aid Kisaidizi cha kusikia. due to a tumor growth in her ears. masikio yake. Babu wake alikufa kutokana na shtuko la moyo alipopokea Her grandfather died of a heart attack habari kwamba mjukuu wake upon receiving the news that she had alifariki kwenye meza ya Heart attack Shtuko la moyo died on the operating table. upasuaji. Kila mpasuaji wa moyo hupima Every cardiovascular surgeon checks kwa makini mvumo wa moyoni Mvumo wa moyo (Moyo for heart murmurs in patients with heart kwa wagonjwa walio na ugonjwa kutoa sauti kama ya conditions in order to assist in making a wa moyo ili kusaidia kujua aina Heart murmur mnyama au hewa) diagnosis. ya ugonjwa. Baada ya vipimo kwenye mahabari, daktari alipata Hali ya kuhisi kuchoma After a laboratory test, the doctor found kwamba mwanamke kwenye umio na njia ya out that the lady who had complained of aliyelalamikia kiungulia alikuwa Heartburn chakula juu ya tumbo. heartburn had cancer of the esophagus. na saratani ya umio. Pediatricians monitor the height of Daktari wa watoto hufuatilia children to evaluate their growth and urefu wa watoto ili kutathmini Height Kimo/urefu nutritional status. ukuzi na hali ya lishe yao. Wengi wa wagonjwa wa Most patients with sexually transmitted magonjwa ya zinaa husita infections hesitate to share their kuzungumzia shida zao pamoja Hesitate Sita problems with doctors. na madaktari Ma daktari husisitiza kila mtu kujikinga vilivyo ili kuzuia Homa ya manjano Doctors insists on proper personal kupatwa na virusi vya homa ya inayoshiriwa na ini protection to prevent contact with manjano inayoashiriwa na ini Hepatitis kuvimba. hepatitis B. kuvimba. Muuguzi aliandika shinikizo la The nurse recorded the blood pressure damu la wagonjwa wote of all patients who were receiving waliokuwa wakitibiwa kutokana High blood pressure Shinikizo la juu la damu. treatment for high blood pressure. na shinikizo la juu la damu. Daktari alipendekeza upasuaji wa kutoa kijusi kwa kuchinja mji Upasuaji wa kutoa kijusi The doctor recommended a wa mimba baada ya kugundua kwa kuchinja mji wa hysterectomy after discovering that the kwamba kijusi kilikuwa kimekufa Hysterectomy mimba. fetus in the patient's womb was dead. . Mgonjwa alikuwa amezidiwa na The patient was very sick. That is why ugonjwa ndio maana daktari Kitengo cha wagonjwa the doctor recommended he be taken to alipendekeza apelekwe kwenye ICU maututi. the ICU. kitengo cha wagonjwa maututi. Daktari alimshauri mama mjamzito asinywe dawa zozote The doctor advised the expectant kabla ya mashauri ya daktari mother not to take medicine without a kwa sababu zinaweza prescription because it may be imperil kuhatarisha maisha ya mtoto Imperil Hatarisha. to the life of the unborn child. ambeye ajazaliwa. Daktari alimshauri mama The doctor advised the mother to take ampeleke mtoto wake kwa her child for an immunization against chanjo dhidi ya ugonjwa wa Immunization Chanjo tetanus. pepopunda. Daktari alimshauri muuguzi The doctor advised the nurse to dress afunge kidole cha shahada cha Kidole cha ngumba the patient's index finger because it had mgonjwa kwa sababu kilikuwa Index Finger (kikubwa). a cut. na jeraha The nurse was instructed by the doctor Muuguzi aliagizwa amhudumie to attend to a patient who had severe mgonjwa aliyekuwa na homa kali Influenza Homa ya mafua. influenza. ya mafua. After the laboratory test, the doctor Baada ya kumchunguza established that he had a problem with mgonjwa daktari alibaini kuwa Intestine Matumbo. his intestine. na shida ya matumbo. Daktari alimwambia mgonjwa ambaye alikuwa na mwasho The doctor told the patient, who had an kwenye mkono kuwa ana Mwasho (Hisia ya kutaka itchy hand, that he had a fungal maambukizo ya ukungu na kujikuna mwili infection and needed to apply some kwamba alihitaji kupaka dawa Itch unapowasha. medicine to the hand. kwenye mkono wake. Daktari alipendekeza mgonjwa Kitanzi, kidude cha kuzuia awekwe kidude cha kuzuia mimba. The doctor recommended an IUD mimba kwani tembe(vidonge) Kidude (kitu insertion since the pills had negative vilikuwa na madhara mabaya IUD (Intrauterine device) kisichojulikana jina yake) effects on her. kwake. After the laboratory test, the doctor Baada ya vipimo daktari recommended an intravenous injection alipendekeza kuwekwa dawa because the tablets had posed side kupitia mishipa ya mgonjwa IV (Intravenous) Katika mishipa. effects for him. kwani tembe zilimdhuru. Homa ya nyongo ya manjano.manjano (rangi inayofanana na gandu la limau lililoiva). Ugonjwa unaosababisha ngozi au macho kuwa na rangi ya manjano kwa sababu nyongo imetengenezwa kwenye ini zaidi ya inavyotumika). Nyongo –majimaji Daktari alimchunguza mgonjwa machungu ambaye alikuwa na rangi ya yanayotengenezwa na ini The doctor examined the patient, who manjano kwenye macho na kwa ajili ya kusaga had yellowing in his eyes, and kubaini alikuwa na homa ya Jaundice chakula tumboni. established that he had jaundice. nyongo ya manjano. The trachea and the two bronchus are Koo na vikoromeo viwili joined at a junction around the middle of vimeungana kandokando ya kati Junction Muungano. the breastbone. ya mfupa wa matiti. The doctor recommended a blood test Daktari alipendekeza kipimo cha Viungo. Viungo –mahali to the patient, who complained of damu kwa mgonjwa katika mwili wa kiumbe painful joints, in order to establish aliyelalamika kuwa viungo vyake ambapo sehemu mbili au whether he was suffering from malaria vinauma, kubaini iwapo alikuwa Joints zaidi vimeungana. or not. na ugonjwa wa malaria au la. Daktari alimshauri mgonjwa aliyekuwa na ugonjwa wa figo aende kufanyiwa dialisisi The doctor advised the patient who had (usafishaji damu kwa mashine Kidney figo, nso, buki. kidney disease to go for dialysis. ya figo). Goti la mgonjwa lilikuwa limeumia vibaya kiasi ya goti. Kiungo cha miguu kwamba hageweza kukunjua kilicho na umbo la duara The patient's knee was so badly injured mguu wake na ndio sababu ndani kinachounganisha that he could not unfold his leg, and so daktari alipendekeza kwamba Knee paja na maundi. the doctor recommended that he rest. apumzike. Pia ya goti/kifuu cha goti/kibandiko cha goti. Pia ya goti la mgonjwa pia – Kitu kilicho na umbo The patient's kneecap could not move halingeweza kusonga ndio la duara upande wa juu and the doctor advised him to go for a sababu daktari alimushauri Kneecap na ncha upande wa chini. surgery. kufanyiwa upasuwaji. .Kijana alipelekwa kwenye konzi, goti, kogore. The boy was taken to the emergency chumba cha dharura kwa Konzi –kidole au vidole room because he had inflammation on sababu alikuwa na uvimbe vya kiganja vilivyofumbwa his knuckle after hitting the wall kwenye konzi nyuma ya kupiga ili kumpigia mtu au because he was under the influence of ukuta kwa sababu alikuwa Knuckle kubishia hodi. drugs. ametumiya madawa ya kulevya. Mgonjwa hangeweza kuona The patient could not see well because vyema kwa sababu mboni ya Iris Mboni ya jicho. his iris was damaged. jicho lake ilikuwa imeharibika. Tezi za mdomoni (tezi ndogo ndogo za mdomoni zinazohusika na kutoa Saratani ya koo inaweza usisha Labial glands mate. Throat cancer can affect labial glands. tezi za mdomoni. Mkunga alimhudumia mama aliyekuwa na uchungu wa uzazi Uchungu wa uzazi na The midwife attended to the mother in na kuakikisha kuwa amejifungua Labor and delivery kujifungua/ kuzaa. labor and ensured safe delivery for her. salama. Daktari alipendekeza kuongezwa kwa damu kwa Saratani ya seli nyeupe The doctor recommended a blood mgonjwa aliyekuwa na saratani Leukemia za damu. transfusion to the leukemia patient. ya seli nyeupe za damu. Kano – Nyuzi zenye The doctor advised the patient to eat Daktari alimshauri mgonjwa ale nguvu zilizo katika minofu health food in order to strengthen his vyakula vya kuleta nguvu mwilini Ligament ya mwili. ligament. ili kano zake zipate nguvu. Chechemea – Chopea, mwendo wa chopi. Chopea – Enda kwa Mguu wa mgonjwa uliumia sana kuchechemea/ Upande The patient's leg was badly injured, ndio sababu alitembea kwa Limb upande kama mlemavu. leading to limp movement. kuchechemea. Daktari alihakikisha yakwamba The doctor confirmed that the patient mugonjwa ana shida ya kitemba Sema kitemba/piga had a lisp and advised him to see a ndio mana alimwagiza kuonana Lisp kitemba. speech therapist. na mtalamu wa maongez Daktari alimwonya mgonjwa Ini. – Kiungo kilichoko dhidi ya unywaji wa pombe mwilini ambacho hutoa The doctor warned the patient against kupita kiasi kwani waweza nyongo na pia husafisha excess intake of alcohol, as this may kufanya ini kutoweza kufanya Liver damu. bring about liver dysfunction. kazi yake. Daktari alipendekeza mgonjwa The doctor recommended a cancer test aliyekuwa na uvimbe kwenye titi for the woman who had a lump in her lake apimwe dhidi ya ugonjwa Lump Uvimbe mwilini. breast. wa saratani. Tezi ya ziwa – Daktari alimshauri mama azidi Tezi – sehemu ya mwili The doctor advised the mother to kumnyonyesha mtoto ili inayotengeneza kemikali continue breastfeeding her baby so as kuhakikisha kuwa tezi zake za ambazo huleta to ensure that her mammary glands ziwa zinaendelea kutengeneza Mammary glands mabadiliko mwilini. continue to produce milk. maziwa. Surua, Ukambi, Firangi, Ukamba. Ugonjwa wa Daktari alipendekeza mtoto kuambukiza wa ngozi The doctor recommended the child be apate chanjo dhidi ya ugonjwa Measles haswa kwa watoto. immunized against measles. wa surua. The nurse will check the medical chart Mwuguzi ataangaliya ramani ya Medical chart Ramani ya matibabu. of the patient. matibabu ya mgonjwa. Madaktari huweka taarifa Taarifa iliyoandikwa ya Doctors keep medical records for all the iliyoandikwa ya wagonjwa wote Medical records matibabu. patients they attend to. wanaowahudumia. Daktari alisema kuwa mgonjwa aliyeletwa hospitalini akiwa na The doctor said that the patient who maumivu makali ya kichwa Uvimbe wa tando za uti was brought to the hospital with a alihitaji kupimwa dhidi ya wa mgongo na ubongo/ severe headache needed to undergo a ugonjwa wa homa ya uti wa Meningitis Homa ya uti wa mgongo. meningitis test. mgongo. Mkunga aliyemhudumia mama The midwife, who was attending to the mwenye uchunu wa uzazi mother in labor, said that she had alisema kuwa alikuwa na shida Mkunga. Mtu mwenye difficulty giving birth and needed a ya uzazi na alihitaji kuzaa kwa Midwife ujuzi wa kuzalisha. cesarean delivery. njia ya upasuaji. Mgonjwa aliyekuwa na The patient who had a migraine kipandauso alitibiwa. Daktari headache was treated. The doctor alimshauri mgonjwa aliyeletwa Kipandauso. Maradhi ya advised the patient suffering from a hospitalini akiwa na ugonjwa wa kuumwa sana na paji la migraine to get a lot of rest so as to get kipandauso apumzike ya Migraine uso. well. kutosha ili aweze kupona. Mama ambaye alikuja hospitalini baada ya kupitia mfululizo wa The woman, who came to hospital kuharibikiwa na mimba aliagizwa having gone through a series of afanyiwe eksirei ili kubaini miscarriages, was ordered to have an sababu ya kuharibikiwa na Miscarriage Kuaribika mimba X-ray to establish the cause. mimba zake. Mgonjwa ambaye aliyeletwa Utando telezi. The patient, who was brought to the hospitalini akilalamika kuwa na Utando – Chocchote hospital complaining of abdominal pain, maumivu ya tumbo, alikuwa na kinachofunika kitu was found to have a ruptured utando telezi umeharibika kingine. abdominal mucous membrane, hence ambao ulisababisha bakteria Mucous membrane Telezi – enye kuteleza. leading to a bacterial infection. kuingia kwenye Tumbo Lake. Daktari alimwambia Musuli – tafu. mwanariadha asinywe dawa bila Musuli – mukusanyiko wa The doctor advised the athlete not to maagizo kwani zaweza nyuzi za kano mwilini take unprescribed medicine, as it may kusababisha ukusefu wa nguvu Muscle unaowezesha kutembea. weaken his muscles. kwenye misuli. Matumbwi – Tumbi. Ugonjwa wa kuambukiza The doctor said that the boy who was Daktari alisema ya kuwa kijana wa kuvimba mashafi hasa brought to the hospital was suffering aliyeletwa hospitalini alikuwa na Mumps kwa watoto. from mumps. ugonjwa wa matumbwitumbwi. Muuguzi alipenyeza dawa The nurse injected the patient with a kwenye mwili wa mgonjwa kwa Needle Sindano needle. kutumia sindano. chuchu. The doctor examined the patient, who Daktari alimchunguza mgonjwa Chuchu – ncha/ Mwisho was brought to the hospital with aliyetokwa na uchafu kwenye Nipple wa ziwa/titi. discharge from her nipple. chuchu lake. Daktari alibaini kuwa mgonjwa Enye ganzi, Tia ganzi. The doctor established that the patient, aliyeletwa hospitalini akiwa na Ganzi – Hali inayofanya who was brought to the hospital with a ganzi alikuwa na shida ya neva Numb mishipa ya hisi ikose hisi. numb hand, had a nerve problem. kukosa kufanya kazi. The mother, who had a gynecological Mama aliyekuwa na ugonjwa wa disease, gave birth to a mature kiuke alijifungua mtoto Offspring Mtoto offspring. mkomavu. Mtoto aliyetupwa (telekezwa) na Makao/ Nyumba ya The abandoned baby was taken to an mama yake alipelekwa kwenye Orphanage yatima. orphanage. makao ya yatima. Daktari aliwaonya wagonjwa The doctor warned all the patients he wote aliowahudumia dhidi ya attended against the outbreak of swine kuzuka kwa ugonjwa wa homa Outbreak kuzuka, kutokea. flu. ya ngurue. Daktari alimwagiza muuguzi Hali ya kutolazwa The doctor ordered the nurse to attend kuhudumia wagonjwa wan je Outpatient hospitalini. to all the outpatients first. kwanza. Mgonjwa aliyeletwa hospitalini The patient, who was brought to the baada ya kuzirai daktari hospital after fainting, was confirmed by alidhibitisha kuwa hakuwa the doctor not to have gotten enough amepata hewa safi ya kutosha oxygen and, therefore, was kept in an na akawekwa mahali palio hewa Oxygen Oksijeni (hewa Safi). open area. safi. The doctor advised the woman, who Daktari alimshauri mwanamke Ovari – Sehemu ya complained to have experienced a aliyelalamikia kukawia kupata kiungo cha uzazi cha delay in becoming pregnant, to undergo ujauzito apimwe ili kubaini iwapo mwanamke a test to prove whether her ovaries are ovari zake zinaweza kuzalisha Ovary yanapozalishwa mayai. able to produce ova. mayai. Daktari alimwagizia mgonjwa The doctor prescribed medicine to the dawa na akamwonya dhidi ya Kuzindisha kiasi cha patient and warned her against an kuzindisha kiasi cha dawa Overdose dawa kinachohitajika overdose. kinachohitajika. Daktari alimweka mgonjwa aliyekuwa na shida ya mapigo The doctor put the patient, who had an ya moyo kwenye kifaa cha Kifaa cha kurekebisha uneven heartbeat, on a pacemaker so kurekebisha mapigo ya moyo ili Pacemaker mapigo ya moyo as to correct his heart rate. urekebisha hali yake Mpira kwa Wakati mtoto alikuwa analiya, mtoto/titibandia Whenever the baby was crying, his mama yake alikuwa anaweka Pacifier (unaofanana na titi) mother put a pacifier in his mouth. mpira kwa mudomo wake. Daktari alimpa mgonjwa The doctor gave the patient, who had a aliyekuwa na jipu kwenye mguu Maumivu, uchungu boil on his leg, some painkillers to dawa za kumaliza maumivu ili Pain (burning) (unaochoma) reduce it. kuyapunguza. Mgonjwa alieuuguaugua ugonjwa wa mlango wa kizazi alifanyiwa uchunguzi kwa sampuli ya ubwawa katika The patient, who had recurrent mlango wa kizazi kuangalia Sampuli ya ubwawa cervicitis, had a pap smear done to rule iwapo alikuwa na saratani ya Pap smear katika mlango wa kizazi. out cervical cancer. mlango wa kizazi. Daktari wa watoto alimshauri The pediatrician advised the mother to mama amnyonyeshe mtoto breastfeed her baby enough so as to wake ya kutosha ili kuzuia mtoto ensure that her baby does not fall sick kupatwa na magonjwa kwa Pediatrician Daktari wa watoto. often. mfululizo Daktari alimchunguza mgonjwa aliyelalamika kuwa na uchungu Uume, mboro, dhakari, kwenye uumme wake kubaini firaka, zubu, jengelele The doctor examined the patient, who iwapo alikuwa na magonjwa ya UUME – Uchi wa complained of pain in his penis, to see zinaa.(magonjwa mwanamme (sehemu whether he had any sexually yanayoambukizwa kupitia Penis nyeti za mwanamme). transmitted diseases. ngono). Ugonjwa wa malengelenge ya Herpes zoster is a condition in which neva kwa ngozi ni hali ambayo the patient presents with a pinched mgonjwa uwa na neva iliyo na Pinched nerve Neva iliyo na mchuno. nerve. mchuno. Majibu yaliyofanywa baada ya kuaga yalidhihirisha kwamba marehemu aliugua ugonjwa wa Chembe chembe The postmortem results confirmed that chembechembe zigandishazo Platelet zigandishazo damu. the deceased had a platelet disorder. damu. Baada ya kujifungua Mama aliyekuwa akivuja damu (mwezi mmoja baada ya The mother, who had postpartum a baada ya kujifungua aliongezwa Post partum kujifungua). hemorrhage, was transfused. damu. Daktari alimshauri mama The doctor advised the pregnant mjamzito kwamba ilikuwa vyema woman that it was good to go to a kwake na kwa afya ya mtoto Utunzi wa mtoto/ mimba clinical for prenatal care for her and for kwenda kliniki.kliniki (mahali pa Prenatal care kabla ya kuzaliwa. her baby's health. ushauri wa matibabu). The doctor gave the medicine to the Daktari alimpa mgonjwa dawa patient after confirming the disease he baada ya kubaini maradhi aliyi- was suffering from and advised him to okuwa nayo na kumshauri take it according to the doctor's anywe kulingana na agizo la Prescription Maagizo, agizo la daktari. prescription. daktari. usaha –ute wa rangi ya Muuguzi alikiosha na kikifunga manjano iliyopauka The nurse washed and dressed the kidonda cha mgonjwa unaotoka kwenye vidonda patient's wound, which had a lot of pus kilichokuwa kikitoka usaha Pus na majipu. coming out. mwingi. The doctor referred the patient to a Daktari alimtuma mgonjwa kwa radiologist for an X-ray to establish mtaalamu wa eksirei kubaini Mtaalamu wa eksirei whether he was suffering from iwapo alikuwa na ugonjwa wa Radiologist (miale ya X). tuberculosis. kifua kikuu. Vipele, Ukurutu. Vipele – vituruturu vilivyozagaa The doctor said that measles is Daktari alisema kuwa ugonjwa katika mwili, huwasha na characterized by rashes all over the wa ukambi hudhihirishwa na Rash kutunga usaha. body. vipele kwenye mwili wote. Mgonjwa aliyekuwa na joto The patient with a persistent fever had iliyokataa kushuka alikadiriwa Kukadiria tena a reassessment done to ascertain the tena kujua aswa Reassessment (kuchunguzwa tena). cause. kilichoisababisha. Chumba cha wagonjwa waliozimia (ambao Daktari alimuamuru muuguzi hawana fahamu) The doctor ordered the nurse to take ampeleke mgonjwa kwenye wanapowekwa ili kupata the patient to the recovery room so that chumba cha wagonjwa wasio na Recovery room fahamu. he could regain consciousness. fahamu ili kupata ufahamu. The patient, who had worsened despite Mgonjwa aliyeugua zaidi hata treatment, has been referred to another baada ya matibabu ametumwa Referral Kutuma pengine. hospital. hospitali ingine. Mashauri ya daktari ni ya The doctor's advice is highly reliable, kutegemewa sana hasa kuhusu Kutegemewa, especially in the outbreak of a disease, kuenea kwa maradhi Fulani ili Reliable Kutumainiwa. so as to avoid transmission. kuzuia kuenea zaidi. Utafiti wa madaktari unaonyesha kuwa vifo vingi vya watoto The doctor's research shows that most wachanga husababishwa na deaths in infants are caused by kusongwa/ kukabwa roho/ Research Utafiti, uchunguzi. suffocation. kunyongwa. Daktari alisema kuwa mama The doctor said that the pregnant mjamzito alikuwa amepasuka mother's placenta had ruptured. kondo/ fuko analokaa mtoto Therefore, she needed quick tumboni na kwamba alihitaji Rupture Pasua, Pasuka, Pasuliwa. assistance. huduma ya dharura. Daktari alimshauri mgonjwa apelike kielelezo cha darizi cha The doctor advised the patient to take a damu kwenye mahabara Jaribu, kielelezo cha blood sample to the laboratory to be ikapimwe iwapo alikuwa na Sample (blood, urine, etc) darizi. tested, whether he had malaria or not. malaria au la. The patient who was suffering from Mgonjwa aliyeugua homa ya Homa ya vipele scarlet fever was treated and sent vipele vyekundu alitibiwa na Scarlet fever vyekundu. home. kutumwa nyumbani. Daktari aliwaambia/ aliwaagiza The doctor advised those carrying the wabeba machela wampeleke stretcher to take the patient to the mgonjwa kwenye chumba cha Shtuko la moyo, kifafa, emergency room after realizing that he dharura baada ya kugundua Seizure kukwama, Kugoma. had had a seizure. kwamba alikuwa na kifafa. Wakati daktari alimweleza When the doctor told the patient that he mgonjwa kuwa alikuwa na was suffering from prostate cancer, the saratani ya korodani,kujistahi kujistahi, kujitukuza, patient's self-esteem declined so much kwake kulienda chini kiasi ya Self-esteem Kujiona, kiburi. that he could not see a reason for living. kwamba hakuona aja ya kuishi. Daktari alimshauri mgonjwa The doctor advised his patient not to wake kwamba asishiriki ngono Ngono, kuingiliana, have sexual intercourse with a person na mtu aliye na virusi vya Sexual intercourse kulalana,Kujamiiana. infected with the AIDS virus. ukimwi. Daktari alimwelezea mgonjwa Sindano ya dawa, give The doctor explained to the patient that kuwa atamdunga sindano kwa somebody a sho,Piga mtu he was going to give her a shot in her makalio badala ya dawa za Shot sindano. back instead of oral medication. kumeza. Daktari alimshauri muuguzi The doctor advised the nurse to give amdunge mgonjwa sindano Athari – Matokeo/ alama the patient an injection, because the kwan tembe zilikuwa na athari Side effects ya muda. tablets had side effects on her. kwake. Daktari alimweleza mgonjwa Ngozi. Sehemu ya juu The doctor explained to the patient, ambaye alikuwa na mwasho wa inayofunika mwili wa whose skin was itching, that it was a ngozi kuwa alikuwa na ugonjwa Skin kiumbe. result of skin disease. wa ngozi. Ndui. Ndui – Ugonjwa wa kuambukiza unaofanya Daktari alimshauri mgonjwa mtu kuwa na upele The doctor advised the patient, who ambaye alilalamika kuwa na mwingi wenye complained of having smallpox, that the ugonjwa ndui kwani ugonjwa usaha.ulikomeshwa kote disease was terminated and that it was huo ulikuwa umekomeshwa kote Smallpox duniani mwaka 1980. not possible to get it. duniani. Daktari alimtuma mgonjwa kwa The doctor referred the patient to waudumu wa serikali ili Nambari ya ruzuku ya government agencies to confirm his kuthibitisha nambari yake ya Social security number serikali kwa wasiojiweza. social security number. ruzuku. wengu, bandama. Wengu – Kiungo cha ndani ya mwili kinachogandamana na Malaria ya kudumu tumbo kwa upande wa Chronic malaria can cause massive yawezasababisha wengu kuwa Spleen kushoto. splenomegaly. kubwa sana. Daktari alimshauri muuguzi kuwa vidonda vingi Kidonda kinachotokana vinavyotokana na kuchomwa na kuchomwa kwa kisu, The doctor advised the nurse that most kwa vitu vyenye makali kama upanga, mkuki au kitu of the stab wounds need thorough kisu, upanga huitaji kuoshwa Stab wound chenye makali. cleaning before dressing. vyema kabla ya kuvifunga. Ni vyema kutumia kinga wakati We should use protection when having wa kufanya mapenzi ili kuepuka Magonjwa ya sex with people whose status we do not kuambukizwa magonjwa ya STD kuambukizwa kwa ngono. know, in order to prevent STDs. zinaa. Daktari alishona mgonjwa The doctor stitched the deep cut aliyekuwa na mkato wa kina Stitches Nyuzi, shone. wound. sana. Daktari alimtuma mgonjwa The doctor sent the patient to the kwenye mahabara kupimwa laboratory for a stool sample test to choo chake kubaini iwapo establish whether he had bacteria in his alikuwa na bakteria kwenye Stool choo, mavi, Kinyesi. stomach. Tumbo Lake. Daktari aliwashauri wabeba machela waharakishe kumtoa The doctor advised those carrying the mgonjwa kwenye gari la stretcher to hurry up and bring the wagonjwa maututi kwani alikuwa Kitanda cha mgonjwa/ patient from the ambulance, because mgonjwa sana kiasi hangeweza Stretcher machela. he was so sick that he could not walk. kutembea. Sirinji, Tia kwa sirinji. Sirinji – Njia ndogo kama mrija la kutilia/ kuweka Daktari alimwamuru muuguzi dawa kwa ajili ya The doctor ordered the nurse to put aweke dawa kwenye sirinji ili kudungia sindano au medicine in the syringe so that they waweze kumdunga mgonjwa Syringe kutolea damu. could give the patient an injection. sindano. Kano – Nyuzi zenye Daktari alimshauri mkimbiaj/ nguvu mwilini zilizo katika Manariadha ale vyakula vya minofu ya mwili ( The doctor advised the athlete to take kuongeza nguvu mwilini ili hushikanisha mfupa na plenty of energy-giving foods to assist kusaidia kano zake kupata Tendon misuli (muscle). in strengthening his tendons. nguvu. Daktari alimchunguza mgonjwa The doctor examined the patient, who aliyekuja hospitali akilalamika came to the hospital complaining of a kuwa koo lake lilikuwa na painful throat, to see whether he had uchungu kuona iwapo alikuwa Throat Koo tonsillitis or not. na mafindofindo au la. Daktari alimshauri mgonjwa aliyekuja hospitalini akiwa na The doctor advised the patient with a korodani iliyovura apimwe dhidi swollen testicle to go for a cancer test ya kansa kubaini iwapo alikuwa Testicle pumbu, korodani. to see whether he had prostate cancer. na saratani ya korodani. Kupwita, kugonga. Mtoaji huduma ya kwanza Kupwita – Kutoa pumzi alimhudumia mkimbiaji kwa nguvu, kutweta, The paramedic attended to the athlete, aliyekuwa akihema baada ya Throbbing kuhema. who had throbbing pain after the race. kumaliza mbio. Daktari alimchunguza mgonjwa The doctor examined the patient, who aliyekuwa amevura tezi zake za had swollen thyroid glands, and said kikoromeo na kusema kuwa Thyroid Koromeo, dundumio. that he needed to undergo further tests. alihitaji kupimwa zaidi. The doctor ordered the nurse to attend Daktari alimwamuru muuguzi to the patient, whose toenails had been amhudumie mgonjwa aliyeumia Ukucha wa kidole cha injured, to dress them and give him an vidole vyake vya mguu, Toenail mguu. injection. kuvipunja na kumpa sindano. Daktari aliwasiliana na mgonjwa The doctor communicated with the aliyeletwa hospitalini akiwa na patient, who was brought to the hospital ulimi uliovura kwa kutumia with a swollen tongue, using hand ishara kwani hangeweza Tongue Ulimi signals, as she could not talk. kuongea. The dentist extracted the patient's Mtaalam wa meno alimng'oa Tooth decay Oza meno decayed teeth. mgonjwa meno iliyooza Tukwa, findo.Tukwa – The doctor told the patient that one of Daktari alimwambia mgonjwa Mojawapo ya tezi mbili his tonsils was swollen and that is why kuwa mojawapo ya findo zake zilizoko shingoni chini ya he was experiencing pain while lilikuwa limevura na ndio sababu Tonsil taya. swallowing food. alihisi uchungu akimeza chakula. Daktari alimwambia mgonjwa The doctor told the patient that the kuwa matokeo ya eksirei results for the X-ray showed that he yalionyesha kuwa alikuwa na Tuberculosis Kifua kikuu. was suffering from tuberculosis. ugonjwa wa kifua kikuu. Ugonjwa wa pakinisoni Mshtuko wa musuli, Parkinson's disease presents with ujidhihirisha kwa mtetemo wa Twitch Mtetemo wa uso. twitching of the body parts. viungo vya mwili. Daktari alimwambia mgonjwa The doctor told the patient to bring in a alete kiwango kidogo cha choo stool sample to see whether he had chake kipimwe iwapo alikuwa na Ulcer Donda/ Kidonda. stomach ulcers. vidonda vya tumbo. Picha ya kipimo cha idadi ya Kipimo cha idadi ya marudio ya mawimbi ya sauti marudio ya mawimbi ya The ultrasound scan performed has imedhihirisha kilichosababisha Ultrasound sauti. confirmed the cause of the stillbirth. mtoto kuzaliwa mfu. Daktari alimwambia mama The doctor told the pregnant woman mjamzito kuwa hali yake ilikuwa that her case was an emergency, since ya dharura kwani kiunga mwana the umbilical cord was blocked and the kilikuwa kimefungika na mtoto child in the womb could not get enough kwenye tumbo hangeweza food and air from the mother. And kupata chakula na hewa ya therefore, she needed to have a quick kutosha kwa hivyo alihitaji Umbilical cord Kiunga mwana. operation. upasuaji wa dharura. Mkunga alimtuliza mama aliyekuwa na uchungu wa uzazi The midwife calmed the mother in aliyelia na kulalamika kuwa labor, who was shouting that the pain uchungu aliohisi ulikuwa Unbearable Isiyovumilika. she was undergoing was unbearable. hauwezi vumilika. Daktari alimwamuru muuguzi The doctor ordered the nurse to attend amhudumie mgonjwa aliyeletwa to the unconscious patient, who was hospitalini akiwa amekosa brought to the hospital after drinking a fahamu baada ya kunywa Unconscious Bila fahamu, bila kujijua. poisonous drink. kinywaji chenye sumu. Pindua, pinduka, tibua, Daktari alimtuma mgonjwa Fadhaisha, vuruga – The doctor sent the patient, who aliyelalamikia kuvurugwa na ondoa katika mpango complained of stomach upset, to the tumbo kwenye mahabara ili Upset wake. laboratory for a test. apimwe. Daktari alimwambia mgonjwa The doctor told the patient that she kuwa alihitajika kuleta kiwango needed to bring in a sample of her urine kidogo cha mkojo wake ili Urine Mkojo. in order to do a pregnancy test. apimwe iwapo alikuwa mjamzito. The doctor said that the patient needed Daktari alisema kuwa mgonjwa to undergo tests before she could alihitaji vipimo kabla ya kupata become pregnant, since the doctor mimba kwani daktari alishuku Uterus Uterasi, Mji wa mimba. suspected a uterine problem. shida kwenye uterasi yake. The doctor advised the nurse to Daktari alimshauri muuguzi prepare the vaccines early because aweke dawa za chanjo tayari they were expecting to attend to many kwa wingi kwani walitarajia Vaccine dawa ya chanjo. patients. kuwahudumia wagonjwa wengi. Daktari alimwamuru muuguzi Uke, kuma, sehemu The doctor ordered the nurse to amchunguze mgonjwa nyeti/za siri za examine the patient, who had a sore on aliyekuwa na uvimbe kwenye Vagina mwanamke. her vagina. uke wake. Mama mjamzito ambaye hakuwa amefikia wakati wake wa The pregnant mother, who had not kujifungua alilalamikia kuwa na sio dhahiri, Ilio na reached the delivery period, complained uchungu usio dhahiri wa Vague mashaka, sio wazi. of vague labor pains. kujifungua. Daktari aliwashauri wawili The doctor advised the couple that it kwenye ndoa kuwa ilikuwa was better for the man to undergo a vyema kwa mwanamme kuhasi Kuhasi, oparesheni vasectomy, since all of the family kwani njia zote za upangaji uzazi ndogo ya kumhasi planning methods had side effects on zilikuwa na madhara kwa Vasectomy mwanamme. his wife. mkewe. The patient requested that the doctor Mgonjwa alimsihi daktari Tapika, foka, bubujisha, not prescribe oral medicine for him, asiluagize dawa za kumeza Vomit Matapiko. because it makes him vomit. kwani humsababisha atapike. Virusi, Viumbe hai ambao kimaumbile hawajafikia ngazi ya seli. Seli – Chembe ndogo Baada ya kipimo daktari kabisa ya kiumbe na After the test, the doctor confirmed to alimthimbitishia mgonjwa kuwa Virus yenye uhai. the patient that he had the HIV virus. alikuwa na virusi vya ukimwi. Daktari alimshauri mgonjwa ambaye alihusika kwenye ajali The doctor advised the patient to use a atumie kiti cha magurudumu wheelchair until the bones in his leg mpaka mifupa ya miguu yake Wheelchair Kiti cha magurudumu. heal. ipone. Daktari wa meno alimshauri The dentist advised the patient to get mgonjwa akubali jino lake la Gego la mwisho, Jino la his wisdom tooth removed because it mwiso litolewe kwa sababu Wisdom tooth mwisho. had a cavity. lilikuwa na kijishimo.
(Get Through) Chu, Justin - Clark, T. Justin - Coomarasamy, Arri - Smith, Paul Philip - Get Through MRCOG Part 3 - Clinical Assessment (2019, CRC Press) PDF